Shinikizo

Kutoka testwiki
Pitio kulingana na tarehe 19:04, 16 Februari 2023 na imported>MlimaMoja (nimebadilidha neno kulelezea kuwa kueleza ili kuwe na ushihi unaofaa.)
(tofauti) ← Pitio lililotangulia | Toleo la sasa (tofauti) | Pitio linalofuata → (tofauti)
Nenda kwa urambazaji Nenda kwa kutafuta
A figure showing pressure exerted by particle collisions inside a closed container. The collisions that exert the pressure are highlighted in red.
Shinikizo kutoka migongano ya chembe ndani ya chombo kilichofungwa

Shinikizo (kwa Kiingereza "pressure"; ishara yake ni p au P. Matumizi ya P au p inategemea tasnia au taaluma. Mapendekezo ya IUPAC ya kuonyesha shinikizo ni herufi 'p' ndogo.[1] Hata hivyo, herufi P kubwa hutumika sana.) ni kani inayotumika kutoka juu moja kwa moja kwenye uso wa kitu kwenye eneo kani hiyo imesambaziwa[2]

Vipimo

Safu ya Zebaki.

Vipimo mbalimbali hutumika kuonyesha shinikizo. Baadhi yake hutokana na kipimo cha kani kugawanywa na kipimo cha eneo hilo; kipimo cha SI cha shinikizo, Pascal (Pa), kwa mfano, ni nyutoni moja kwa kila mita ya mraba (N/m2, au kilo·m-1·s-2). Jina la kipimo hiki liliongezewa mwaka 1971;[3] mbeleni, shinikizo katika SI ilionyeshwa kama nyutoni kwa kila mita ya mraba..

Shinikizo inaweza pia kuonyeshwa kama shinikizo la anga la kawaida; anga (atm) ni sawa na shinikizo hili, na torr hufafanuliwa kama Kigezo:Frac ya hii.

Vipimo manometric kama vile sentimita ya maji, milimita ya zebaki, na inchi ya zebaki hutumika kueleza shinikizo kwa suala la urefu wa safu ya kiowevu fulani katika manometer.

Fomula

Kihisabati:

p=F/A

ambapo:

p ni shinikizo,
F ni ukubwa wa kani ya kawaida,
A ni eneo la uso juu ya kugusana.

Inapotumika

Marejeo

Kigezo:Reflist

Kigezo:Mbegu-fizikia