Ukamilishaji (hisabati)

Ukamilishaji (Kiingereza: integration) katika hisabati ni tendo ya kukokotoa eneo chini ya michirizo, juzuu ya vitu, au mambo mengine mengi. Pamoja na utofautishaji (Kiingereza: differentiation), ukamilishaji ni sehemu muhimu zaidi ya kalkulasi. Ukamilishaji inaelezwa kuwa mfululizo endelevu. Ni tokeo la kujumlisha mfuatano wenye idadi isiyokoma ya viduchu.
Kukamilisha mlinganyo, lazima tupate mlinganyo utofautishao kuwa mlinganyo wa kwanza.
Mwandiko
Ikiwa Kigezo:Math ni namba tegemezi, tutapata eneo kati ya mchirizo wake na mhimili ya x, kati mistari yenye milinganyo na kwa kuandika
Alama hio ∫ inawakilisha ukamilishaji, na kungekuwa na tofauti zaidi ya moja "dx" inamaana tukamilishe x tu.
Mifano
Mfano 1
Tutahesabu eneo kati ya mchirizo unaozalishwa na mlinganyo na mhamili ya x, katikati ya na . Tutatumia kanuni "ongeza kipeo kwa moja, gawanya kwa kipeo kipya".
Hapa badili x kwa 0 na 2, ukatoe.