Thumuni

Kutoka testwiki
Nenda kwa urambazaji Nenda kwa kutafuta

Thumuni au thumni (kutoka neno la Kiarabu) ni namba wiano inayotaja sehemu ya nane ya jumla fulani. Thumuni nane zinafanya 1.

Inaweza kuandikwa kama 18 au 1/8.

Kama desimali inaandikwa 0.125.

Inalingana na 12.5%.

Zamani ilikuwa pia jina la sarafu ya senti hamsini katika Afrika Mashariki ya Kiingereza.

Kigezo:Mbegu-hisabati